motco newsRaisi wa chuo cha ualimu Morogoro Mh.Samwel O. Lala amewaonya wanachuo vikali kuhusu matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii yaani Facebook,Twiter,Instagram na Whatsap.Kumekuwa na matumizi mabaya ya wanachuo kutumia mitandao ya kijamii vibaya pasipo na hofu yeyote ile bila hata kujali sheria inasemaje katika matumizi ya mitandao.Picha na video zisizofaa katika maadili na rekodi mbali mbali zisizoruhusiwa zimekithiri sana.
Aidha Rais ameonya kuwa ni mwanzo na mwisho kwa mwanachuo kukutwa na kosa hilo la kimtandao au vifaa vya kimtandao na lasivyo sheria itachukua hatua mara moja na kupewa adhabu kali sana.Pia makamu mkuu wa chuo cha ualimu Morogoro ameonya pia katika eneo la kutaniko la wanachuo na kuzungumza kwamba mwanachuo akibainika na makosa hayo basi sheria itafuata mkondo wake na hatokuwa katika mikono ya chuo tena.Makamu huyo alimalizia kwa kusema kuwa angependa kwamba wanachuo wote waishi katika maadili na misingi ya ualimu ili kuifaa jamii ya kitanzania.
Na mwandishi wetu
Omben Stony
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
UTAWALA WATOA MAELEKEZO YA MWISHO KUHUSU BTP
Na mwandishi Omben Stony Mkuu wa chuo(Principle), Makamu(Vice principle), Muadili mkuu(Dean of students) na Muadili msaidizi(Vice d...
-
UONGOZI WA SERIKALI YA WANACHUO KATIKA CHUO CHA UALIMU MOROGORO 2016/2017 RAISI WA CHUO CHA UWALIMU MOROGORO (MOTCO) 2016/2017 Mh.S...
-
RAISI PAMOJA NA BALAZA LA MAWAZIRI 2016/2017
-
Picha na Mr.Felix Wamasai wa mjini Chuo cha ualimu Morogoro watisha ni mara tu baada ya ya bweni la MERU kuchukua mbuzi wa ushin...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni