Jumanne, 28 Novemba 2017
Jumamosi, 25 Novemba 2017
Karibu MOTCO
KARIBU KATIKA CHUO CHA UWALIMU MOROGORO .
MUONEKANO MZURI WA WANA CHUO CHA UWALIMU MOROGORO.
NI CHUO KINACHOZALISHA WALIMU WENYE UJUZI NA MAARIFA MAKUBWA KIELIMU NA KIJAMII
WAZIRI WA HABARI NA MAWASILIANO CHUO CHA UWALIMU MOROGORO 2016/2017
Mh.OMBENI MWASHIUYA
Ni furaha yangu kumshukuru Mungu kwa uzima na afya anayozidi kunipatia.Lakini pia namshukuru Mh.Raisi wa chuo cha uwalimu Morogoro Ndg.SAMWEL O. LALA pamoja na Mkuu wa chuo pamoja wakufunzi wote kwa ujumla kwa kuona kwamba nafaa kuwa na dhamana ya wizara hii na ni kweli naweza.
Ombi langu kwa wanachuo wenzangu ni kuendelea na umoja na mshikamano mkubwa ili ndoto zetu zitimie kama tulivyo kusudia.
Ahsante
PLEASE,,,,LIKE, SHARE NA SUBSCRIBE
UONGOZI WA SERIKALI YA WANACHUO MOTCO
UONGOZI WA SERIKALI YA WANACHUO KATIKA CHUO CHA UALIMU MOROGORO 2016/2017
RAISI WA CHUO CHA UWALIMU MOROGORO (MOTCO) 2016/2017
Mh.SAMWEL O. LALA
Mh.NUSSURA HASSAN
Mh.ADAM CHONE
Naibu waziri mkuu
Mh.AMINA AMIR
Waziri wa afya
Mh.ABDUL O. SADALLAH
Naibu waziri wa afya
Mh.FARAJA MSHANA
Waziri wa miradi na uchumi
Mh.JORAM MUSIBA
Naibu waziri wa miradi na uchumi
Mh.NEEMA PETER
Mh. SAMWEL
Naibu waziri utunzaji na usimamizi wa vifaa vya chuo
Mh.NEEMA LOTI
Mh.SALIM MKONGO
Waziri wa elimu
Mh.Aidan Deusdedith
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
UTAWALA WATOA MAELEKEZO YA MWISHO KUHUSU BTP
Na mwandishi Omben Stony Mkuu wa chuo(Principle), Makamu(Vice principle), Muadili mkuu(Dean of students) na Muadili msaidizi(Vice d...
-
UONGOZI WA SERIKALI YA WANACHUO KATIKA CHUO CHA UALIMU MOROGORO 2016/2017 RAISI WA CHUO CHA UWALIMU MOROGORO (MOTCO) 2016/2017 Mh.S...
-
RAISI PAMOJA NA BALAZA LA MAWAZIRI 2016/2017
-
Picha na Mr.Felix Wamasai wa mjini Chuo cha ualimu Morogoro watisha ni mara tu baada ya ya bweni la MERU kuchukua mbuzi wa ushin...
